BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Meli nyengine ya kubeba mafuta yashambuliwa katika mlango bahari wa Hormuz
Shirika la Uingereza la Operesheni za Biashara ya Baharini (UKMTO) limetangaza kuwa meli nyengine ya kubeba mafuta katika Lango la Hormuz imeshambuliwa
Lionel Messi astaafu katika soka la kimataifa
Messi mwenye umri wa miaka 39, ambaye ana mkataba na Inter Miami hadi mwaka 2028, alitangaza Jumatatu kuwa kipindi chake cha mafanikio na timu ya taifa ya Argentina kimefikia mwisho baada ya zaidi ya miaka 20.
Baada ya Miaka 30: Aliyekuwa kiongozi wa Crips apatikana na hatia ya mauaji ya Tupac Shakur
Akiwa amevaa suti nyeusi, mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 63 alisimama bila kuonyesha hisia zozote mahakamani huko Las Vegas wakati hukumu ikisomwa, kabla ya kusema kuwa atakata rufaa.
Ndege 5 za kivita zenye kasi zaidi Afrika Mashariki
Katika vita vya kisasa, nguvu ya anga haipimwi tu kwa kile kinachoonekana angani, bali pia kwa teknolojia, taarifa, watu na mifumo inayofanya ndege hiyo iwe na maana inapohitajika.
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne: Arsenal yafikiria kumsajili Fofana, bado yamuwania Alvarez
Arsenal inatathmini uwezekano wa kufanya usajili wa dakika za mwisho wa winga wa Lyon Malick Fofana
Mnyika Mahakamani: Lissu hakuhusika kuchapisha kauli zilizoko kwenye shtaka
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, inaendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es Salaam.
Kwa nini China inawawinda waandishi vijana wa taarifa za Mapenzi ya jinsia moja?
Mwanamke aliyekamatwa nchini China kwa kuchapisha taarifa za mapenzi ya watu wa jinsia moja anasema, "Nilionywa nisizungumzie suala hilo," kabla ya kuelezea kilichojiri siku aliyokamatwa.
Ujumbe wa Khamenei kwa mataifa ya Ghuba: Tunachofahamu kuhusu afya yake
Tangu ateuliwe kuwa Kiongozi Mkuu, hajajitokeza hadharani, na mamlaka za Iran hazijachapisha picha, sauti au video yoyote inayomhusisha.
Marekani na Iran zarejea kushambuliana baada ya shambulio la Larak
Iran yasema imedungua droni na kushambulia wanajeshi wa Marekani nchini Jordan
Je, unapaswa kuosha kuku mbichi?
Hili ni swali ambalo limekuwa likizua mjadala mkali kwa miaka mingi miongoni mwa familia, kwenye mitandao ya kijamii, na miongoni mwa marafiki.
Maandalizi ya mwisho wa dunia: Je, uko tayari?
Je, dunia ikikumbwa na janga kubwa, utaweza kuishi? Wataalamu wa maandalizi ya majanga wanaeleza mambo muhimu unayohitaji ili kujiandaa engapo hali hii itatokea.
WhatsApp yatumika kuhamisha mamilioni ya euro kwa wahalifu na magaidi
Walanguzi wa fedha kupitia WhatsApp waliratibu uhamishaji wa fedha taslimu nchini Uingereza na sehemu mbalimbali duniani bila kuacha rekodi yoyote ya maandishi au nyaraka.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Ndejembi kumrithi Nchimbi, ni mwanasiasa wa aina gani?
Iwapo atathibitishwa kwa mujibu wa taratibu za kikatiba, Ndejembi mwenye umri wa miaka 43 atachukua nafasi iliyoachwa na Nchimbi, ambaye alijiuzulu baada ya kuitumikia kwa takriban miezi 10.
Je, Nchimbi na Gachagua wameponzwa na misimamo yao kisiasa?
Ingawa walihudumu katika nchi mbili tofauti na chini ya mifumo tofauti ya kisiasa, hatima za Emmanuel Nchimbi wa Tanzania na Rigathi Gachagua wa Kenya zimeibua mjadala unaofanana kuhusu uhusiano kati ya marais na manaibu wao, hasa pale tofauti za kisiasa zinapoanza kujitokeza.
Vigogo watano wa CCM waliioondoka katika nyadhifa zao chini ya Rais Samia
Tangu rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, kuna wanasiasa kadhaa cha Chama cha Mapinduzi (CCM), ambao wameondoka kwa hiari au kwa shinikizo katika nafasi zao.
Tundu Lissu: Kuwa na kesi ya kujibu maana yake nini?
Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa uamuzi kuhusu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo, Tundu Lissu, kwamba ana kesi ya kujibu katika shtaka la uhaini linalomkabili. Hatua hii ina maanisha nini?
Silaha 9 za teknolojia ya juu zitakazobadili vita vya siku zijazo
Leo uwanja wa vita unaelekea kwa kasi kwenye silaha zisizoonekana, kupitia akili unde, sumakuumeme, na anga ya juu.
Je, Iran itaishambulia Ulaya?
Iran inaweza kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya iwapo Donald Trump ataishambulia Iran tena, gazeti la Financial Times linaripoti.
Nani anafadhili magenge ya wahuni kuchochea ghasia za kisiasa Kenya?
Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 37 wanaoshukiwa kuhusika na ghasia za kisiasa, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali katika kaunti za Kisumu na Homa Bay. Ni nani yuko nyuma ya makundi haya ya vijana?
Je, Tanzania inaweza kufikia maridhiano ya kisiasa bila CHADEMA na Lissu?
Historia ya Tanzania inaonesha baadhi ya hatua kubwa za maridhiano ya kisiasa zilihitaji serikali na vyama vikuu vya upinzani kukaa meza moja.
Hatari 5 zinazoitishia dunia 2026
Licha ya Afrika kuchangia kwa kiwango kidogo katika mabadiliko ya tabianchi, bado ni miongoni mwa maeneo ambayo hayajajitayarisha vya kutosha kukabiliana na madhara yake ya moja kwa moja.
Nchi 5 bora zaidi kuishi duniani
Je, huwa unahisi kutaka kuacha kila kitu nyuma na kuhamia nchi nzuri ili kuanza maisha mapya?
Kukaa uchi mbele ya watu wengine kunaweza kukusaidia kuuthamini zaidi mwili wako
Utafiti unaonyesha kuwa kukaa uchi pamoja na watu wengine kunaweza kuwasaidia watu kuwa na mtazamo mzuri zaidi kuhusu miili yao na kuithamini zaidi
Je, ni rahisi kuifanya Iran kuwa maskini kuliko kuilazimisha kusalimu amri?
Siku moja baada ya kutangazwa kwa kampeni mpya ya Marekani ya kuweka shinikizo la kiuchumi dhidi ya Iran, vyombo vikuu vya habari nchini humo vilikubaliana katika jambo moja
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 1 Septemba 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 1 Septemba 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 1 Septemba 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 31 Agosti 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani























































