Nenda kwa yaliyomo

Louisiana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Jimbo la Louisiana
Louisiana

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Baton Rouge
Eneo
 - Jumla 134,264 km²
 - Kavu 112,825 km² 
 - Maji 21,440 km² 
Tovuti:  http://www.louisiana.gov/

Louisiana (Kiingereza: State of Louisiana, Kifaransa: État de Louisiane) ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Baton Rouge (Kifaransa: banzi nyekundu) na mji mukubwa jimboni New Orleans (Orleans Mpya). Upande wa kusini ni maji ya ghuba ya Meksiko. Imepakana na Arkansas, Mississippi na Texas. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 4,410,796 (2008) wanaokalia eneo la 135,382 km² ambalo ni hasa milima na jangwa.

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]

State of Louisiana Official Website

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Louisiana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.