Mtango
Mandhari
| Mtango (Cucumis sativus) | ||||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mtango shambani | ||||||||||||||||
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Mtango (Cucumis sativus) ni mmea mtambaa wa familia Cucurbitaceae. Matunda yake, yaitwayo matango, hutumika sana katika saladi duniani kote.
Spishi mbili za pori huitwa mtango-mwitu (Cucumis aculeatus na C. dipsaceus). Lakini mtango-tamu (Solanum muricatum) hauna mnasaba na mtango, kwa sababu ni mwana wa familia Solanaceae.
Picha
[hariri | hariri chanzo]- Majani
- Ua
- Tango
- Matango yaliyokatwa
- Mtango-mwitu (C. dipsaceus)
- Mtango-tamu